Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Mr hapo ana hali gani au hamsemeshani? πππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈMompira ni nyokweee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr hapo ana hali gani au hamsemeshani? πππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈMompira ni nyokweee....
Pole sana mtani, hilo ndio pira sasa.... tuseme wote "zis iz thimba"π€£π€£Hakika mkuu hii fedheha kwa Wanasimba
Tuibebe tu mwanalunyasiHuu mpira uishe tu, hii aibu haibebeki......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtakoma mtasingizia hadi mvuaπ€£π€£π€£Sana...
Angeanza kwenye mchezo mwingine siyo huu..
Ma ma ma eeeeehUkishindwa naja kukukojoza buree.
Ile mishumaa 4 ndiyo yalikuwa magoli ya Yanga. Na kile kiuchawi cha kati ndio kagoli kenu kamoja. Habari mnayo ....
Kitimu kilichoshiriki AFL π€£π€£Kinini
Vipi sisi wanawake wenye mababe Makolo?Leo wenye warembo wa simba hamtapewa...mtanyimwa kwa hasiraππππ