Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Mr hapo ana hali gani au hamsemeshani? πππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈMompira ni nyokweee....
Pole sana mtani, hilo ndio pira sasa.... tuseme wote "zis iz thimba"π€£π€£Hakika mkuu hii fedheha kwa Wanasimba
Tuibebe tu mwanalunyasiHuu mpira uishe tu, hii aibu haibebeki......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtakoma mtasingizia hadi mvuaπ€£π€£π€£Sana...
Angeanza kwenye mchezo mwingine siyo huu..
Ma ma ma eeeeehUkishindwa naja kukukojoza buree.
Ile mishumaa 4 ndiyo yalikuwa magoli ya Yanga. Na kile kiuchawi cha kati ndio kagoli kenu kamoja. Habari mnayo ....
Kitimu kilichoshiriki AFL π€£π€£Kinini
Vipi sisi wanawake wenye mababe Makolo?Leo wenye warembo wa simba hamtapewa...mtanyimwa kwa hasiraππππ