Unalia ukiwa wapi lakini? π
Tusikubali hili tukio lituvuruge,tujipange tena upya maana bado tuna mengi yanatusubiri huko mbeleni.Sina raha kabisa hiki kipigo tulichopigwa ni cha mbwa mwizi
Tano kwa moja ilibidi mle 5 kavu mngelia sana leoNipo live JF sitoa hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufubgwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipya
Kumbe yanga mpaka Sasa wanajiona no Bora kuliko Simba, inasikitisha sana
Huu msimu wanasimba hatuna pa kuvimbia kwa kipigo hichi. Daaa.Hongereni sana ,leo mmeokota dodo chini ya mpera ....
Bantu Lady pokea maua yako π₯π₯πΉπΊ πΉπΊπΉ
Pole yakeWAKUU KUNA JAMAAA KAFA HUKU MTAANI BANDA UMIZA KWA PRESHA
Kula kono la nyani hilo.Nipo live JF sitoa hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufubgwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipya
katupongeza YangaYani ni huzuni kwakweli [emoji119][emoji119] kocha hata asitie neno akweee pipa arudi kwao no excuse