BEZO
JF-Expert Member
- Jul 15, 2023
- 1,770
- 4,449
Tatizo la simba siyo kocha,bali tulifanya usajili wa hovyo wa wachezaji.Tuliwabia tangu TANGA, ROBERTINO SIO KOCHA..
BOARD MAKINI ilipaswa kumpiga chini mapema kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la simba siyo kocha,bali tulifanya usajili wa hovyo wa wachezaji.Tuliwabia tangu TANGA, ROBERTINO SIO KOCHA..
BOARD MAKINI ilipaswa kumpiga chini mapema kabisa
Ukinifatilia utakonda mwana uto...ww fanya yako...Unalia ukiwa wapi?
Umeelewa nilichoandika?Yanga 5-1 Simba
FT
Kawasimulie wanao hio hapo historia nyingine imeandikwa
Tena ile ya kwao kuna wengine humu walikua bado wapo primary school.
HAwa mbwa wametufunga hata huruma hawana....
sio kweli mpira tumezidiwa kabisa refa makosa yake ni madogo madogo sana goli zote nne za yanga ni za uwezo mfano angalia goli la pili la max kapiga katika ya mabeki assist ya mzize ni uwezo kamchukua beki umbali mrefu kamuwekea max katupia goli aziz ki goli za uwezo yule zizou mpira kipaji hamna bahasha tukubari tu tumezidiwa.ko unataka nambia zile tuhuma za yanga kununua mechi si kweli, yanga kutoa bahasha nazo ni za kupuuzwa
Unamkera nani 5-1 zinauma kinoma nomaUkinifatilia utakonda mwana uto...ww fanya yako...
Hakuna cha kuniliza....labda nifiwe na mpendwa wangu yoyote....
Yani nife kwa sbb ya ushabiki kweli??au nilie?? Lol
Mm hapa nawakera tuuu...
Lugha ya mfalme Charles inahitaji ujipange ili kuitumia...😂😂😂kiingereza kiheshimike, mtangazaji anatoa nafasi ya kuuliza swali kwa kocha wa simba wote kimya
ingekuwa kiswahili, wachambuzi mdomo sasa jinga sana
mavi ya kale hayanukiNipo live JF sitoi hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufungwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipya
alafu yao ilikuwa na penati 3Tena ile ya kwao kuna wengine humu walikua bado wapo primary school.
Kiufupi mavi ya kale hayanuki.
Deni la Tanga ama?Sasa tumemaliza deni lao, kama kuna linguine waseme ili tuwalipe tena
Al Ahly[emoji3059],Sasa SIMBA semeni ukweli sisi YANGA tutakapokua tunacheza na Al Ahly mutashabikia wapi?
YANGA best African team
Tumestahili kufungwa. Leo ndio nimethibitisha Simba hakuna mwalimu. Ilistahili kupigwa hata 8Tulia hivyo hivyo Mtani. 😂😂