Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ni dhahabu haitakaa itoke kwny historiamavi ya kale hayanuki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dhahabu haitakaa itoke kwny historiamavi ya kale hayanuki
Ndio zimerudi hahahaaaa tabulele laaaaaaImekuwa mapema sana, zile tano zisije kurudishwa leo aiseeh.
[emoji1]
Kama alienda kwenye mechi 3 amekuja na mbinu amewapiga 5 je akienda kwenye mechi 10 ???MLIMUONA GAMOND MJINGA KUWAFATILIAAA KILA MECHI YENU
Naishukuru timu yangu simba tumekufa kiume, siidai simbaNiseme nini sasa au unataka niseme kuwa hainiumizi...?
Uzuri sio kwamba nyie ndo wa kwanza sisi ndo tulianza kuwakand 6...nyie ni marudio...
Siku zote huwa unareact kwangu kwa vicheko, leo zamu yangu kwako.Hata kama ni kurogwa sio kiasi hiki wakuu....
Hiki kipondo sio poa kabisa...😔😔😔
Chekelea huko utopoloni kwenu...tuachie Simba yetu....Naishukuru timu yangu simba tumekufa kiume, siidai simba
Utopolo wana mwezi mzima wa kutamba na kutubeza humu jamvini.
Ila haina noma, ndio hivyo ishatokea, tutavumilia tu.
Mods fanyeni yenu, haijalishi kafungwa ama vipi.Kocha hakuna pale nitaacha kushabikia Mpira kama huyu Kumaa la mama ake akiendelea kuwa kocha.
Ni ngiri ilimshika
Basi tufanye ibaki 1-1 mkuu,Simba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!
Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
🤣🤣🤣🤣🤣Wana thiiiiiiiiimbaaaaaaaaaa
Uchungu ukizidi ukumbuke na ww ulishamfunga 6 kwa 0.....
Unakunywa maji unalala....
Naona angekuwa na uwezo wa kumtimua kocha, angemtimua sasa hivi. Sio kwa kilio hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna mdomo sana nyinyi hii ndio dawa yenuChekelea huko utopoloni kwenu...tuachie Simba yetu....
😆 😆 🐸 🐸
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi tunasemea ya leo dada yangu 🤣Niseme nini sasa au unataka niseme kuwa hainiumizi...?
Uzuri sio kwamba nyie ndo wa kwanza sisi ndo tulianza kuwakand 6...nyie ni marudio...