Hahahaaa lol. 🤝Ndiyo mkuu
Unalia ukiwa wapi?Mmebahatishaaaaaaaaaa
Nipo live JF sitoi hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufungwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipya
Inasikitisha sanaHuyu Refa alishafungiwaga kwa ajili ya kuvurunda baadhi ya mechi msimu uliopita, nashangaa msimu huu wamemuamini tena kumpa hii derby...inasikitisha
Bado haujasemaNACHEKAA 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 KWA MAUMIVU MAZITO.....🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Goli la pili kuna faul ilitokea refa akaachaSimba imefungwa lakini sio kimpira ! Ndio maana timu zetu za kitanzania hazifiki mbali.!
Kama refa anachezesha huku anashabikia magoli ujue huyo sio refa.
We ebu acha ujinga wako na TECNO yako