FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Manula angefanya vizur, au Simba ingeshinda hakuna ambae angelaumiwa .
Mashabiki sisi.
 
kiingereza kiheshimike, mtangazaji anatoa nafasi ya kuuliza swali kwa kocha wa simba wote kimya

ingekuwa kiswahili, wachambuzi mdomo sasa jinga sana
 
Yanga[emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169] aiiiiiih[emoji4]
 
We ebu acha ujinga wako na TECNO yako
IMG-20231105-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom