Sio mwezi tu. Labda January tusajili wachezaji muhimu wa maana tuwakande za kutosha ndo kutatulia. Sasa hiv ukiongea kidogo unaambiwa 5G.Utopolo wana mwezi mzima wa kutamba na kutubeza humu jamvini.
Ila haina noma, ndio hivyo ishatokea, tutavumilia tu.
Polee kiongoziNimeumia sana
Leo hatuna cha kusema, tumepigika sana.Siku zote huwa unareact kwangu kwa vicheko, leo zamu yangu kwako.
Aminaaaaaaaaa 💛💪!Hizi ni salaam kwa Aly Ahly, wajiandae mume wa dunia Yanga anakuja.
Nakazia kabisa kabisa hivyo vijigoli vyenu vitano Manula Kala hela zenu awape hivyo vijigoli mnavyotambia leo hii.Hahahaaa lol. 🤝
Mbona huyu ni Mdakuzi jamani? 😆 😆 😆Makolooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2804989
Nipo swahiba,makolo wamechezea mkono saaafiSwahiba Mgagaa na Upwa uko wapi? 🤣🤣
Mgunda asingefungwa hivi
Kunapokuwa na nyakati za furaha ujue kuna za huzuni zitakuja. Leo zamu yetu kuhuzunika. Usikimbie timu.Kocha sijuiatatuambia nini tumuelewe msimu wa dirisha dogo simba kama watasajili upuuzi ndo itakua mara ya kwanza na yamwisho kushabikia simba na mpira wa bongo kwa ujumla