Nakazia kabisa kabisa hivyo vijigoli vyenu vitano Manula Kala hela zenu awape hivyo vijigoli mnavyotambia leo hii.
Tulia kiongozi, muda ni tiba nzuri.Kocha sijuiatatuambia nini tumuelewe msimu wa dirisha dogo simba kama watasajili upuuzi ndo itakua mara ya kwanza na yamwisho kushabikia simba na mpira wa bongo kwa ujumla
Bahati nzuri hatusafirishi, tunazika hapahapa. Tena usiku huu huu...
Kinyago tukichonge wenyewe, halafu kitutishe?
Yanga since 1935.
Unajifariji au sio? πππ Ndio maana leo nilikua naona jezi za Yanga tu hakuna mwanasimba alievaa jezi leo wote wamejificha walishajua kinachofuataWana thiiiiiiiiimbaaaaaaaaaa
Uchungu ukizidi ukumbuke na ww ulishamfunga 6 kwa 0.....
Unakunywa maji unalala....
Mavi ya kale hayanuki.Nipo live JF sitoi hata chozi...kwani nyie hamjawahi kufungwa na Simba??? Tena 6?? So ni kupokezana tuuu hakuna jipya
Pole chief, wanasimba sote tunaumia.Nimeumia sana
Pole sana mtaniAl Ahly[emoji3059],
Siwezi shabikia uto hata kwa bakora[emoji419][emoji419]
Tena zisizo na longo longo Swahiba. π πNipo swahiba,makolo wamechezea mkono saaafiView attachment 2805025
Kolowizard[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2805026