FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

Ktk siku ambayo nitafurahi timu yangu simba ifungwe ni Leo ili ile sbb kuwa Tinyo tangu aingie nchi hii hajawahi kufungwa na ni master tactician ili timu inacheza Mpira mbovu so viongozi wamejificha kwenye rekodi hiyo so kwa Leo kufungwa huenda watakubaliana nami yule so kocha
 
Yanga, kata mikia hiyo.
 
Simba ikishinda nitaamini hizi mvua Zina baraka za ndumba za msimbazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…