Kila la heri Young African SC [emoji169][emoji172]Kikosi cha WananchiView attachment 2804836
Simba hapati hata goli moja matokeo ni Yanga 2-0 au Yanga 1-0 Simba watalia watu kwenye mitaro leoYanga 2 Simba 1
Ktk siku ambayo nitafurahi timu yangu simba ifungwe ni Leo ili ile sbb kuwa Tinyo tangu aingie nchi hii hajawahi kufungwa na ni master tactician ili timu inacheza Mpira mbovu so viongozi wamejificha kwenye rekodi hiyo so kwa Leo kufungwa huenda watakubaliana nami yule so kochaHayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Yanga, kata mikia hiyo.Hayawi hayawi sasa yamekuwa, tarehe 05.11.2023 iliyokuwa ikisubiriwa na Watanzania wengi imewadia. Siku ambayo wapenzi wa soka watashuhudia Derby ya Kariakoo, miongoni mwa Derby bora kati ya zile zinazoheshimika barano Afrika.
Mechi hii itaanza muda wa saa 11:00Jioni.
Kaa nami katika uzi huu upate kushuhudia matukio mbalimbali
Simba ikishinda nitaamini hizi mvua Zina baraka za ndumba za msimbazi.Ktk siku ambayo nitafurahi timu yangu simba ifungwe ni Leo ili ile sbb kuwa Tinyo tangu aingie nchi hii hajawahi kufungwa na ni master tactician ili timu inacheza Mpira mbovu so viongozi wamejificha kwenye rekodi hiyo so kwa Leo kufungwa huenda watakubaliana nami yule so kocha
Simba Sc akishinda ni kwamba Yanga Sc imezidiwa uwezo uwanjani. Unaposema mvua ni ndumba za Simba Sc ilhali wote watacheza kwenye mvua hauwezi kueleweka.Simba ikishinda nitaamini hizi mvua Zina baraka za ndumba za msimbazi.