Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Kibu nae tangu ajue kuwa Diarra ni kibonde wake, kila nafasi anataka kupiga shuti[emoji23].
Anakuwa na hamu amtungueKibu nae tangu ajue kuwa Diarra ni kibonde wake, kila nafasi anataka kupiga shuti[emoji23].
ShindwaaaEeh Simba ni timu ndogo sana[emoji3]
kabisa kuna sehemu anapaswa kutoa pasi wenzie wafunge.Kibu nae tangu ajue kuwa Diarra ni kibonde wake, kila nafasi anataka kupiga shuti[emoji23].
Ajue hapo anamuongelea kipa wa CAF sio kipa wa matuta ya mchongo.kawa kibonde lini, kuna dogo mlimdanganya hivi, hivi hadi leo haamini kinacho mpata dogo soppu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Musonda uwiii!
Inamaana haujui kuwa tayari katufurashisha..?Si mmempa mechi yeye? ngojeni awafurahishe.
Huezi , atakudundaaa ohoo🤣🤣Angekua karibu ningemdunda😀😀
Mlimroga ?kawa kibonde lini, kuna dogo mlimdanganya hivi, hivi hadi leo haamini kinacho mpata dogo soppu
😖😖😖💪💪💛
Bila kusahau swala la Chama kucheza pembeni.Simba haifungui defence sana ya YANGA kutokana na nature ya KIBU NA SAIDO
hata hivyo ni underdog timu haifikishi hata pasi tanoSimba inacheza kiunderdog