Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Huwa sina imani nae akichezesha game za YangaRefa anazingua kapombe kafanya faulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa sina imani nae akichezesha game za YangaRefa anazingua kapombe kafanya faulu
We fuvu Nini?kwahiyo humo wanacheza ragibi?Kafanyaje wakati wachezaji wako wamemuacha Kibu anapiga kicwa free kabisa.
Game zuri japo wamecheza kwa low temple.
Achezeshe kwa hakiHana baya
Big TimeAnazingua kinomaa!
Husiziamini Sana camera za Azam. Unaweza ona ni foul kumbe sio. Chezeni boli Acha malalamiko.Ref yuko bought what is this
Ukikaba kwa kuzia nafasi maana yake haumfati kumkaba mtu moja kwa moja anapokuwa na mpira badala yake munaondoa mianya ya muendelezo wa pasi za mashambuli na mnanyang'anya mpira pale ambapo adui amesogea zaidi na hana machaguo mengi ya kupeleka mpira.Kwahyo ndio maana wanakuwa wanatawaliwa sana?!
Kabisa. Naona kuna watu lazima watolewe hapa.Tusubiri sub za Robertinho...
Pepo trokkkaaaaaaah 😖!Bado hamjasema
🤣🤣Brigedia acha uoga. Tulia hadi dakika ya mwisho ili tujue utahuzunika au utafurahi?Refa maliza mpira mi nakaa mbali
Hili liko Wazi. Aliyelazimisha acheze Leo hayuko sahihi.Manula bado hayupo fiti
Ana chembechembe za kuwa mshabiki wa simba sio bureHuwa sina imani nae akichezesha game za Yanga
Tumfanyie subAchezeshe kwa haki
Ngoja tucheki mwisho wa hii game😀😀 haya bana
Underdog haipatikani wakati au baada ya mechi. Underdog hutumika kuelekea mechi. Hii concept naona wengi hawaielewiKwa Leo nakubali ni underdog . Wanapoteza mpira kifala kama vile ni daraja la Kwanza. Ila underdog pia ushinda.
Matusi ya nini dogo?We fuvu Nini?kwahiyo humo wanacheza ragibi?
Hata wao sio kwamba wanapenda, ni pira objective hilo.Hawa yanga mbona wanamuacha shomali hivi! Jamani
Ngoja vidole vikakamaePepo trokkkaaaaaaah 😖!