Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu marefa wote wana chezesha mechi zinazo onekana kuwa ngumu kwa simba wana udhaifu sijui ni mipango ama kuna namnaHuyu Refa alishafungiwaga kwa ajili ya kuvurunda baadhi ya mechi msimu uliopita, nashangaa msimu huu wamemuamini tena kumpa hii derby...inasikitisha
Huu ndio ukweliAna chembechembe za kuwa mshabiki wa simba sio bure
Tafuta hela uanzishe team yako utafute na kocha mzuri wewe mwenyewe.Simba watafute kocha mzuri muumini wa kuuchezea mpira tuwe tunashuhudia derby nzuri, sio hili kocha lao la kupaki bus upuuzi mtupu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yani unaona kabisa Jitu linakuj kutua juu ya mwili then urelax tuu ..ile ilikua ni lazima afanye alichofanya na ndio mana faul ikapigwa kuelekea kwenushomary aliye shika mguu ila ikawa faulo kwa yanga tena
Bado hajaweza kubalance mchezo, wachezaji wa simba wakimpanikisha anaingia kingiNilizani naona peke yangu tu.
Hatuna kocha sisi, kila siku tunalalama, wengine wanasema mpira matokeo, ni pira bovu tunacheza pira papatu papatu.Simba watafute kocha mzuri muumini wa kuuchezea mpira tuwe tunashuhudia derby nzuri, sio hili kocha lao la kupaki bus upuuzi mtupu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Until you say it[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]sina imani na refa
Huyo pimbi sijawahi kumkubali hata siku 1, ujinga wake huwa anataka kukaa na mpira na mzito na akishanyang'anywa tu wala huwa haangaiki kabisa kukaba.Upande wetu wa kushoto bado siulewe, Lomalisa leo sijui kaamkaje!!
Yes mtoto mzuri,Sisi kama Yanga hatutaki sare kabisa, huu ni muda wa kuwaadhibu hawa Makolo.
Sare haikubaliki!
Siongelei kufungwa maana haiwezekani.
Sasa umiliki wa 51% kwa 49% ni kitu cha kupiga kelele.?hii inaitwa kujifariji
umiliki usio na faida wakati golini kwako watu wanatembea kama sebuleni unabaki okoa hatari tu
unaangalia soka kwa pressure muda wote wananchi wako sebuleni
bado yanga ana goli zake mbili hapo hakuna draw hii mechiFT Simba 1 Yanga 1.
Nimemaliza
VAR inabidi iletwe Bongo, japo ni gharamaWaamuzi wamekuja na maelekezo, dk za mwanzoni mshika kibendera alisema pacome ametoa mpira wakati mpira ulikwa ndani, Penati nayo tunanyimwa.
Kwakuwa mna mchezaji wa 12 uwanjani 'Arajiga' lazima useme hivi, mpaka sasa yeye ndio nyota wa mchezo.Mechi iko wazi sana hii, ni mechi yetu rahisi zaidi vs Yanga kuliko zote kwa miaka mitano iliyopita. Hamtoki hii mechi b...
Ova
Ule upande tulimwambia kocha piga ua ampange Kibu Denis, hakuna beki wa Yanga atapanda.Upande wetu wa kushoto bado siulewe, Lomalisa leo sijui kaamkaje!!
We ebu acha ujinga wako na TECNO yakoSimba watafute kocha mzuri muumini wa kuuchezea mpira tuwe tunashuhudia derby nzuri, sio hili kocha lao la kupaki bus upuuzi mtupu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Game moja moja.Matokeo wakuu huku tuliko Tanesco hawajatuacha salama