ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitisha sana kama njaa.GENTAMYCINE, The Popoma, come and see this with your naked eyes. Na huu utabiri niliutoa kabla hata ya mchezo kuanza. Yaani saa 12 na dakika 18 asubuhi siku ya Jumapili!!!
Halafu unajisifia eti wewe ni Jenta the king!!! Nyambafu
Kula chumaa hiko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Popote mlipo Nipe tanoo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz [emoji109][emoji1783]!
HayagangwiYagangwe yajayo...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Hayagangwi
@Mshana Jr njoo utoe ufafanuziNawakumbusha tena kwamba Simba SC ilizikwa ile siku ya Simba (Simba Day)!
View attachment 2812747
Hawezi kuja hata kwa bulldozer@Mshana Jr njoo utoe ufafanuzi
Kwenye nyuzi za simba haonekani sikuhizHawezi kuja hata kwa bulldozer
Sidhani kama JK na Computor wameliafiki hili! Hata wewe Labani og pamoja na kuwa haupo kwenye wale WAWILI, kama ungeombwa ushauri, sidhani kama ungewakubalia!Yanga wameweka hili bango lao Tegeta ili Simba wakienda kufanya mazoezi Bunju wakipita wanaliona na wakirudi wanaliona.[emoji16]
Maendeleo hayana Chama
#KitengeSportsView attachment 2813397