FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

FT: Simba SC 1-5 Young African SC | NBC Premier League| Benjamin Mkapa Stadium | 05.11.2023

IMG_20231108_221709.jpg
1699437722791.jpg
 
Comment za wadau mitandaoni.

"Mimi si shabiki wa Yanga ila kwa bango hili nasema huu ni upuuzi uliovuka mipaka.

Aliyeleta wazo ni mjinga, aliyelikubali wazo ni mpuuzi na aliyetekeleza ni mpumbavu. Issue kama izi zinaweza sababisha soka uwe ni mchezo wa uadui badala kuwa mchezo wa urafiki.

Kuifunga timu ya 8 kwa ubora barani Afrika siyo mchezo kusema ukweli inabidi [emoji2539][emoji103][emoji2539] tutengeneze mpaka shuka za kumbukizi.

MGUMBA AKIPATA MIMBA ATATEMA MATE KILA MAHALI ILI TU AONEKANE."

1699953829804.jpg
 
Back
Top Bottom