Uwepo wa Bocco unatufanya tuwe pungufuMpo pungufu kivipi mkuu?
Miamba yote ipo katika vipimo sawa hakuna mwamba ambao umepindia kwa ndaniMkuu mbona kama ilipiga kwenye mwamba wa ndani?
Ningekuwa kocha second half yupo benchHawatakuelewa washabiki maandazi, wachezaji walioboronga dkk 45 ni Bocco, Moses Phiri na Kennedy Juma.
Ball possession imekaaje first half?Singida wamewatafuta cheki On target hizo. Hongera Ally Salim hakika namba unaitafuta na unastahili
Kabisa. Halafu wameingiza Baleke, yaleyaleUwepo wa Bocco unatufanya tuwe pungufu