FT: Simba SC 2 - 0 Singida Fountain Gate | Mapinduzi Cup| Aman Complex | 03.01.2024

FT: Simba SC 2 - 0 Singida Fountain Gate | Mapinduzi Cup| Aman Complex | 03.01.2024

Hatari...sijaelewa moses phiri kichezeahwa winga jamani ebu nisomesheni hapo maana naona mule kama anacheza kinyonge sana
Phiri akiwekwa benchi mnasema kwa nini hapangwi. Akipangwa mnasema kwa nini amechezeshwa wing. Kwa ufupi mashabiki wa kizazi cha Manara kuwa msemaji wa timu hizi hamkosi lawama
 
Hatari...sijaelewa moses phiri kichezeahwa winga jamani ebu nisomesheni hapo maana naona mule kama anacheza kinyonge sana
Yule ni forward siyo center forward ( striker) , forward anaweza kucheza winga ya kulia (7), kushoto ( 11), mshambuliaji wa kati (9) au kiungo mshambuliaji ( 10) ( second striker) kwa hiyo siyo tatizo.
 
Tatizo la kila siku kwanini wachezaji hawajitumi, hawakabi kabisa ( wanakabia macho )....hakuna muunganiko timu inajitafuta each and every day, Ni Kama wachezaji wanatulia kusubiria jina la SIMBA liwabebe hii sio sahihi.......Alafu ule upande wa kapombe mbona Kama karibia kila gemu Kuna makosa mengiii.......kapombe na uzee wake atajitahidii weeeee!!! ila mwisho wa siku makosa kwenye upande wake lazima yotokee tuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la kila siku kwanini wachezaji hawajitumi, hawakabi kabisa ( wanakabia macho )....hakuna muunganiko timu inajitafuta each and every day, Ni Kama wachezaji wanatulia kusubiria jina la SIMBA liwabebe hii sio sahihi.......Alafu ule upande wa kapombe mbona Kama karibia kila gemu Kuna makosa mengiii.......kapombe na uzee wake atajitahidii weeeee!!! ila mwisho wa siku makosa kwenye upande wake lazima yotokee tuuu


Sent using Jamii Forums mobile app
🤣😂😂😁😁 Naunga mkono hoja
 
Mwalimu Bechikha bado ana kazi ya kufanya, hii simba inakatisha tamaa. Wachezaji ni wazito ajabu halafu hawana stamina kabisa aisee
Huyu ngoma kwa jinsi anavyotumika kwa kila mechi na kapombe, kuna game wakichoka watakuwa ni uchochoro.
 
Singida wamewatafuta cheki On target hizo. Hongera Ally Salim hakika namba unaitafuta na unastahili
 

Attachments

  • 20240103_211356.jpg
    20240103_211356.jpg
    974.6 KB · Views: 1
Yule ni forward siyo center forward ( striker) , forward anaweza kucheza winga ya kulia (7), kushoto ( 11), mshambuliaji wa kati (9) au kiungo mshambuliaji ( 10) ( second striker) kwa hiyo siyo tatizo.
Ok ila ndio the second worse player kwa upande wa simba hizi 45 minutes. Anapoteza mipira tuu alafu hayupo proactive
 
Mwenda alishafanya kosa, beki bora unapaswa kujua maeneo yale striker aweza kufanya nn?
 
Nashauri viongozi wa simba wakae waongee vizuri na wachezaji, molali ya wachezaji iko chini sana huwenda kuna mgomo baridi.
 
Phiri akiwekwa benchi mnasema kwa nini hapangwi. Akipangwa mnasema kwa nini amechezeshwa wing. Kwa ufupi mashabiki wa kizazi cha Manara kuwa msemaji wa timu hizi hamkosi lawama
Ebwana kazi ya kocha ni kumpanga mtu kwenye nafasi ambayo inakuza ubora wake na kuficha madhaifu yake. Kwa mtazamo wngu jmaa hajawa effective huko pembeni
 
Ok ila ndio the second worse player kwa upande wa simba hizi 45 minutes. Anapoteza mipira tuu alafu hayupo proactive
Hawatakuelewa washabiki maandazi, wachezaji walioboronga dkk 45 ni Bocco, Moses Phiri na Kennedy Juma.
 
Back
Top Bottom