Aweee...msalimie litle lion wetu japo baba yake ni Yanga..Simpendi Onana...
Luis Namkubali Sana japo mi n Yanga lakini my little boy Nimmempa jina la Miquissone kumuenzi jamaa.. natamani arudi kwenye kiwango chake cha zamani
Ndo maana nipo kama mwehu mara huku mara insta mara huko...hahahahWhatsApp Channel ya Simba wanachelewa sana Ku update aisee
Nimesha follow tayari, had Man city yangu pia.Nimekumbuka nimempa nb...hapo chini
Ila asijisumbue kutafuta channel ya timu ndogo kama Uto hawezi kuipata huko ππchanels za mitimu mikubwa mikubwa...na kina Samia suluhu pia wapo na Simba utaikuta humo
Timu kubwa inacheza na timu kubwa na kuifunga magoli ya halali tofauti na watoa supu kucheza na vitimu vidogo na ushindi wake mpk kupata msaada wa refa kukifanya kipofu
Hahaha safi basi hapo mwanalunyasi umemaliza huko hakuna ma comments ya kero ni tunaona updates tuu...Nimesha follow tayari, had Man city yangu pia.
Ahsantee, sikua najua hata. Mie tsup enyewe naweza kaa hata siku 2 sijafungua.ha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watuu khaaahIla asijisumbue kutafuta channel ya timu ndogo kama Uto hawezi kuipata huko [emoji23][emoji23]
Ndo maaana nikamwambia timu kubwa zenye kujua dunia inaendaje hahahIla asijisumbue kutafuta channel ya timu ndogo kama Uto hawezi kuipata huko ππ
Jichanganyeni Mpite Tukutane Huko Mbele, Tuwajaze Vizuri, Maana MshanogewaHahaha basi tuache sisi leo tupo mawindoni
Lakini Gongowazi kaiiga nickname ya ManCity πππNimesha follow tayari, had Man city yangu pia.
Ahsantee, sikua najua hata. Mie tsup enyewe naweza kaa hata siku 2 sijafungua.
Yaan hapa inaonekana unyamaa sana, ni updates tyuuh.Hahaha safi basi hapo mwanalunyasi umemaliza huko hakuna ma comments ya kero ni tunaona updates tuu...
Mbona unaongea huku unatetemeka sasaJichanganyeni Mpite Tukutane Huko Mbele, Tuwajaze Vizuri, Maana Mshanogewa
π πNdo maaana nikamwambia timu kubwa zenye kujua dunia inaendaje hahah
Nyie kutufunga juzi haimaanishi nyie ni wababe kwetu tutapimana nguvu next match..msimwage mimaji maiti yenu tena uwanjani...Jichanganyeni Mpite Tukutane Huko Mbele, Tuwajaze Vizuri, Maana Mshanogewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nick name ipi?Lakini Gongowazi kaiiga nickname ya ManCity [emoji23][emoji23][emoji23]
Ku share uku ni mitihani mpaka uwe na namba ya mtu ndo unaweza share, nenda watsap tu sehemu ya channels such simba kama hujaupdate watsap yako muda mrefu update kwanzaMbna mie cna hiyo Chanel, hebu nitumie links dyadyaa