Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,814
- 8,118
Chilunda hana msaada kabisa, anachezesha matraaako tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tano Chache?Sishangai. Kama Rais WA timu msomi aliwahadithia Viongozi Wakubwa SA kuhusu goli tano sembuse wewe?.
Wee mbna una nongwa sanaa? Simba inakutesa hivyoo?Jichanganyeni Mpite Tukutane Huko Mbele, Tuwajaze Vizuri, Maana Mshanogewa
ManCity ni Cytzens na huku Uto wanajiita Wananchi 😁😁[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nick name ipi?
Kwamba nyie ndo wa kwanza kuzifunga?? 🤣Tano Chache?
Huyu Dogo Leo Ka Shine SanaUnafanya kitu mpaka mpinzani wako anakupa heko
Nimeipenda hii slide tackling ya Israh kwa Kaseke
Tayari nsha follow kitambooo, ni mwendo wa kupokea updates tyuuh.Ku share uku ni mitihani mpaka uwe na namba ya mtu ndo unaweza share, nenda watsap tu sehemu ya channels such simba kama hujaupdate watsap yako muda mrefu update kwanza
Ningekuwa nayo ningempa asee, mchezo wa kupoteza muda kizembe sembe now days hauna nafasi. Bora kupoozesha mchezo kwa kujifanya umeumiaHuna hapo mfukoni umpe?
Mwache bwana wee kukalia benchi msimu karibia mzima kuweza????Chilunda hana msaada kabisa, anachezesha matraaako tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hawana quality km ya citizens,ManCity ni Cytzens na huku Uto wanajiita Wananchi [emoji16][emoji16]
Off topic Mkuu wewe ka kwa kutulia usitake kujua mengine utaumiza kichwaMsaada tutani, hivi kombe la mapinduzi cecaFa inalijua? Sizungumzii caf wala fifa,
Hakuna m-Cameroon ambaye hajui mpiraSimba mmenipa raha sana leo...
Hasa akifunga Onana...
Leo tena Luis kaosha nyota basi moyo kwatuuu...
Ally yupo vzr92' Faulo kuelekea Simba