Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Israel Mwenda StopperJamani leo basi beki yetu imeimarika wamemuweka nani leo amekua kisiki cha mpingo? Au Isra ndo anafanya yake...
Kwenu wachambuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel Mwenda StopperJamani leo basi beki yetu imeimarika wamemuweka nani leo amekua kisiki cha mpingo? Au Isra ndo anafanya yake...
Kwenu wachambuzi
Safi sanaa...Israh amejitahidi sana leo
Israel Was the Best, Chemalone PiaJamani leo basi beki yetu imeimarika wamemuweka nani leo amekua kisiki cha mpingo? Au Isra ndo anafanya yake...
Kwenu wachambuzi
Safi sanaaaaIsrael Mwenda Stopper
Winjaaaaaaaaa winjaaaaaaaWeraaa weraaaaaaaaa.....
Safi na huu ndo utani wa jadi sasa...Israel Was the Best, Chemalone Pia
Hahahaha, radio mbaoSafi sanaa...
Kwani Isra na kapombe ndo hawapatani?
Achana naooo...mimi huwa siwasikilizii wanaoidiscus Simba kabisaaa...mimi nimeshaamua kuipenda hunambii kitu..kuna ups and down ndio ila sio vya kushangaza kwny michezo..Ball possession 57% kwa Simba 43% SFG
Goli 2 Saafi , + Clean sheet
Ila itakuja mijitu Hamnazo itasema Simba hawakucheza Vizuri
Ulinena vyema kabisa. Waliokuwa wanalaumu wamegeuka kuwa waimba sifa, na waliokuwa wanabeza hawaonekani tenaSimba akishinda hapa,patakuwa story tofauti kabisaa
Watu huwa hawana subra...malalamishi 24/7Ulinena vyema kabisa. Waliokuwa wanalaumu wamegeuka kuwa waimba sifa, na waliokuwa wanabeza hawaonekani tena
Yanga wanatumia NDAGO kupangiwa timu dhaifu kwenye mashindano. Jamhuri, Jamus eti kesho wanakutana na KVZ!!😛😛😛😛Jamani Eti Yanga Kesho na KVZ...!
Waandaaji Wana Visa... Hlf Kuna mtu ataamka usiku Wa Manane Kuanzisha Uzi.