Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Leo nalala Usingizi na pono muruaaa.
Hallah [emoji881]
[emoji460][emoji460]
Unamaanisha pono ile ya kikubwa?
BTW Simba kashinda. Ni furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nalala Usingizi na pono muruaaa.
Hallah [emoji881]
[emoji460][emoji460]
endelea kuwashushia nondo utopolo...Kabla sijaondoka hivi mliokuwa mnamsema Baba Ester?
Simba inapata CLEAN SHEET alafu mtu aseme haijacheza vizuri?! Leo tumeupiga mwingi tofauti na Ile game ya kwanza ya 3-1Ball possession 57% kwa Simba 43% SFG
Goli 2 Saafi , + Clean sheet
Ila itakuja mijitu Hamnazo itasema Simba hawakucheza Vizuri
Dahh! Kundi la Simba SC ni gumu, yaani ukutane na singida, JKU na APR.Yanga wanatumia NDAGO kupangiwa timu dhaifu kwenye mashindano. Jamhuri, Jamus eti kesho wanakutana na KVZ!!😛😛😛😛
Huyu anastahili dk zote 90Kabla sijaondoka hivi mliokuwa mnamsema Baba Ester? Hivi mnamaanisha au? Toka nianze kuangalia mpira wa Simba Assists nyingi za magoli ya Simba ni kutoka kwa Shomari kapombe...muwe na apprecition sio kila siku utaamka sawa..ila angalia classy ya mchezaji..
Arsenal alipigwa 8 na man u , man u akafungwa 7 na majogoo unaongelea tano ni nyingi, angalia izo goli na profile ya arsenal na man u, nyie ni wanyasa!Tano Chache?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiJamani nimerudia haya magoli kuyaangalia Azam Instagram..wacha niseme tuu Willy Esomba onana hilo ni goli la kideoo...na Luis hilo guu shoto ni goli la maangamizi la haulaaaaaaaaa.....
Usiku mwema jamani
Kwako....
Labani og unateseka ukiwa umechomekea au umevaa msuli??
Baba tamuu ameshani changamsha kimokoo kwan, napiga umbea JF.Unamaanisha pono ile ya kikubwa?
BTW Simba kashinda. Ni furaha
Hahahahaha kavaa msuli yuleJamani nimerudia haya magoli kuyaangalia Azam Instagram..wacha niseme tuu Willy Esomba onana hilo ni goli la kideoo...na Luis hilo guu shoto ni goli la maangamizi la haulaaaaaaaaa.....
Usiku mwema jamani
Kwako....
Labani og unateseka ukiwa umechomekea au umevaa msuli??
Ukiamka utujulishe, vinginevyo tutajua umepitiliza jehanumBora nilale zangu kuliko kuangalia mataputapu ya Ndunduka
HahahahahaBaba tamuu ameshani changamsha kimokoo kwan, napiga umbea JF.
na venye wote ni lunyasi, bas tunadevelekaaa tyuuh.
hallah [emoji881]
Hii Migoli adimu sana...tofauti na yale mambwa.. hawana goli za utamuOnana Ronaldo
View attachment 2861259
Ungemleta mmeo acheze namba 5 dadaMatch ya hovyo