OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Singida wacheze mpira wa chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Singida Fg hapa itabidi waingize kikosi B.Match Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2860453
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2860651
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Kila la kheli Chama letu kwa muda, Singida Fountain Gate..!!! Piga hao Makolo..!!Match Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2860453
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2860651
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Wakamie tu ili wavunje heshima za watu..!!Singida Fg hapa itabidi waingize kikosi B.
Hawana cha kupoteza na nitawashangaa sana endapo watakamia
Kiumbe mwenye mashaka sio kiumbe salama.... ha ha ha ha ha .....Kila la kheli Chama letu kwa muda, Singida Fountain Gate..!!! Piga hao Makolo..!!
Michezo ya Mapinduzi yote yanachezewa Zanzibar, tena nafikiri ni kwenye uwanja mmoja. hakuna maan ayakuweka home and away.Kuuliza si ujinga, hivi haya makundi sio ilipaswa kuchezwa home/away? Utaratibu wake ukoje?
Kwa hiyo jumla ya michezo no mitatu tu?Michezo ya Mapinduzi yote yanachezewa Zanzibar, tena nafikiri ni kwenye uwanja mmoja. hakuna maan ayakuweka home and away.
Kila kundi linatoa timu 2 ambazo zinaingia robo fainali.
Time will tell kama hiyo watake au wasitake ni ya Singinda au 5imba..!!!Wacheze wanavyoweza, sio wagongwe mje na kisingizio hakuna cha kupoteza.
Watake watafungwa, Wasitake watafungwa!!
Tutampasua yeyote kwenye michuano hii
Mnataka kuleta kelele mjini nyie.Wakamie tu ili wavunje heshima za watu..!!
hakuna ulazima wowote wa Singida fg kushinda hii game.Singida tunawatakia ushindi mnene
nafirikia hivyo.Kwa hiyo jumla ya michezo no mitatu tu?