Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba hana timu yakumfunga singida..Dreaming....
HIli jukwaa la updates ya mechi ya Simba peke yake au Singida na Simba? Tuma vikosi vyote tuone acha uwoga bwa mdogoMatch Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2861143
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2861139
Kikosi cha Simba Kitakachoanza.
View attachment 2861142
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Match Nyingine Ya Kundi B,
Imemalizika APR 3 - 1 JKU.
Hii inatoa sababu ya Simba kushinda Mechi ya Leo ili kujihakikishia nafasi ya Kuingia robo fainali.
Tuma weweHIli jukwaa la updates ya mechi ya Simba peke yake au Singida na Simba? Tuma vikosi vyote tuone acha uwoga bwa mdogo
Msiwe na kiherehere cha kuanzisha thred na hamuwezi kutoa updates au mnakua waogaTuma wewe
Yeye katuma zinazohusu timu yake wewe unayetaka kikosi cha Singida katuletee kama unahamu nachoMsiwe na kiherehere cha kuanzisha thred na hamuwezi kutoa updates au mnakua waoga
singida fans roll call[emoji1732]Go go gooo mnyamaaaaa
cc; Cookie , ActiveMatch Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
View attachment 2861143
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
View attachment 2861139
Kikosi cha Simba Kitakachoanza.
View attachment 2861142
Kikosi Cha Singida FG Kinachoanza
View attachment 2861159
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Match Nyingine Ya Kundi B,
Imemalizika APR 3 - 1 JKU.
Hii inatoa sababu ya Simba kushinda Mechi ya Leo ili kujihakikishia nafasi ya Kuingia robo fainali.
Kama atachezesha Dada Tatu MwalongoSingida anakandwa goli 7