Kama walivyokaa kwenu na kagera sugar..Na TFF watakaa kimyaaaaaaaa
Toa sababuGoli la pili la simba halikupaswa kukubaliwa. Tuna waamuzi wa hovyo sana
Wanavurugwaa mbayaaa, hawana hata muda na team yao.Tabora anaadhibiwa vizuri tu..... Lkn sasa Walalamishi ni Utopolo. Ukisikia nchi hii ni ngumu ndo hivi sasa
Haya lifute basi.Goli la pili la simba halikupaswa kukubaliwa. Tuna waamuzi wa hovyo sana
MaumivuGoli la pili la simba halikupaswa kukubaliwa. Tuna waamuzi wa hovyo sana
Ndiwoo ndiwoooo.Amekuja akiwa imara