Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza makasirikoUto mjingaa
Kaka wacha Tufungwe tukishika nafasi ya pili hawawezi shtuka,simba ilipo hapo ni nguvu za mungu tuu.Tukishinda leo gape inapungua.
Azam anatuzidi point 1
Hamuwezi kuwa na akili nyie, hata Rage aliishasema.Mimi ni simba ila naomvea tufungwe leo ili tupate akili
Leo mapema tu walete kati
Kwenye kupigania nafasi ya tatu, Simba hana mpinzani.Hakuna kitu kama hicho.
Its Win Only.
Point 3 muhimu kabisa.
Tunahitaji kushiriki Champion League.
For the benefit of this Nation
Tuheshimiane wewe bibi mdogo.Hamuwezi kuwa na akili nyie, hata Rage aliishasema.
Iwe ni utani..ila kama una hoji kutoka kichwani basi vichwa vyenu vina walakini..so unataka timu ibweteke au unataka isiende uwanjani?Munagombea nini?
Waambie wao ndo hawana akili...timu ya mabeki 3...Tuheshimiane wewe bibi mdogo.
Yani kibu ndo aibabaishe timu kweli..sema kocha benchika amewapotezea muda hao madogo watatu leo hii wangekua wameshakua kwny mfumo vzr...Balua chasambi na kaziya kibu na wengineo