Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Weka sasaMsimamo na mechi mkononi๐๐๐๐
Nilikua shamba kijijini ndo nimerudi ... ๐Mwanzo mlienda wapi๐คฃ๐คฃ
Karibu jukwaani mtani wanguNilikua shamba kijijini ndo nimerudi ... ๐
Thanx mtani...Karibu jukwaani mtani wangu
Hatutaki uchambuzi wako...Nitatoa UCHAMBUZI kuelekea Simba na yanga
Ila Simba mhhhhhhh
Kazi anayo.
Ally SALUM hapana kwakweli
je wenye majeraha ya jana kufika hiyo tarehe 5 watakuwa wamepona? yaani pacome, aziz KI, na wengineSasa tarehe 5 mtatukoma,tutawapiga 5 kama tarehe yenyewe nawazee wenu akina Saido!
Asante ๐คฃ๐คฃ๐คฃThanx mtani...
Vipi pole kwa matokeo....
Hatutaki uchambuzi wako...
Mimi hili pira linanikosha ni kama unaangalia movie ya kutisha...ni kama vile steringi anauwawa kumbe wapiiiiiiiii.....mpk mwisho wa movie steringi hauwawi...yani waleeeeeeee kileleni tunasonga mdogo mdogo...
Sawa dada umesikika haya kamvulie kyupi mumeoWachezaji walikuwa na uchovu wa safari.. Dar .. Cairo.. Dar..pamoja na kucheza mechi mbili mfululizo zenye mkandamizo mkubwa sana.
Tunapotafakari matokeo ya Leo tuzingatie haya..wachezaji ni binadamu siyo robot's.
Hongera kwao