Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mpende tu si mumeoMm YANGA damu ila nampenda phiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpende tu si mumeoMm YANGA damu ila nampenda phiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo mtavunjwa hamtaamini😂Hallah [emoji881]
Nguvu 1.
Punguza kuropokaHili swala la kumtaja mama yangu huwa silipendi kabisa.
Nakuomba usimtaje tena mama yangu kwani ahusiki kwa lolote hapa.
kama matusi nitukane mimi, kwani ndie ninaehusika, nadhani umenipata.
🤣🤣🤣🤣Tatizo la timu yangu ni kushindwa kulinda magoli
Hili goli alilofunga Phiri ingekua ni Kibu pale angeanguka tuu
Teh teh teh subiri tarehe tano Aziz Ki ndio utamfahamu vizuri.Tatizo la timu yangu ni kushindwa kulinda magoli
Hivi nyie mnafahamu Kuna beki mmemsajili toka Uganda hajawahi kucheza ligiMbona mnakata tamaa mapema sana? Sasa Ayubu mlimsajili wa kazi gani kwa bilioni Tatu halafu anakaa benchi?
Ukuta wa Yeriko umeyeyuka au?Tatizo la timu yangu ni kushindwa kulinda magoli
Ushaona tukipiga kelele?Hivi nyie mnafahamu Kuna beki mmemsajili toka Uganda hajawahi kucheza ligi
Hapa vipi...La tatu.!?Goooaaaaal, goaaaaoooooooooaaaaal, gooooooooaaaal, gooooooooooal