kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Ngapi hukoo....
Huyo Mume wa Yanga bado hajaachia?
Huyo Mume wa Yanga bado hajaachia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tarehe 5 haupati kituNa Diara alipopigwa mbili na hawa walima mpunga utasema sio kipa mzuri?
Ktk football kipa yeyote anaweza kufungwa acha kumlaumu kijana wetu, na asipocheza kwenye derby Simba tutapigwa, na hayo ndio maombi ya Uto kwamba Ally akae bench.
Are Uto ambassador?
Sisi ndio tuna historia ya kuwafunga nyingi hao.Hawa wajinga tutawachakaza hawatoamini, huu ujinga wakituletea 5 zitarudi.
Upi🤣🤣Ushindi upo
Hapa lazima wakimbiane kudadadekiSisi ndio tuna historia ya kuwafunga nyingi hao.
Kula chuma hicho.View attachment 2795933
acheni kusajili wazeeSaido hakuna kitu. Ukweli ni kuwa ni mchezaji ambaye sijawahi kumkubali
Sawa boss maoni yangu hayoNi kipa mzuri acha kumsimanga
Ngapi hukoo....
Huyo Mume wa Yanga bado hajaachia?
Zikiisha dk 90 ndio utajua ni baba watoto au ni baba mkwe😁😁Mnamuombea baba watoto
Hata kama kipa ningekua mimi siwezi kutema mpira vileSema wewe kakosea nini, goli linafungwa wakati kuna mabeki watano wa Simba na washambuliaji wawili. Halafu eti kipa alaumiwe.
🤣🤣No cleansheet kwa makolo