Sasa Baleke anatokaje anabaki Saido..Kibu out Phiri in
Huyu coach huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Baleke anatokaje anabaki Saido..Kibu out Phiri in
Mechi bado haijaisha.Wenye timu yao siwaoni humu.
Mbona mnakata tamaa mapema sana? Sasa Ayubu mlimsajili wa kazi gani kwa bilioni Tatu halafu anakaa benchi?Huyo dogo ukipa hauwezi na hatawahi kuwa competent kwenye hiyo nafasi, sio kipaji chake.
Sitamani kumuona kwenye derby ila najua atacheza, kwakua wameshamsoma basi zitaokotwa nyingi sana wavuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes uko sahihi utopolo Hatuna Raha sababu mechi za Simba zote marefa wanaziharibu wanaibeba Simba mpaka inatia kichefuchefu!! Mechi ya Singida Jamaa walifunga goli halali refa na kibendera wakalikaa Ile mechi Simba ilitakiwa kupasuka!! Singapore Big Stars wasikubali kukaa kimya walipokwa ushindi wao!!Utopolo wanaongoza ligi ila hawana furaha [emoji23]
Nasikia ukuta wa Yeriko uliangushwa kwa mavuvuzela.Ukuta wa mabua no clean sheet,,Kila mechi unaruhusu goli,,eti ukuta wa yeriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akikaa benchi kuna tatizo gani kwanini Yanga mpate uchungu ni kiasi gani mlichangia anaposajiliwa?Mbona mnakata tamaa mapema sana? Sasa Ayubu mlimsajili wa kazi gani kwa bilioni Tatu halafu anakaa benchi?
🤣🤣🤣🤣Huyo dogo ukipa hauwezi na hatawahi kuwa competent kwenye hiyo nafasi, sio kipaji chake.
Sitamani kumuona kwenye derby ila najua atacheza, kwakua wameshamsoma basi zitaokotwa nyingi sana wavuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mke mwaminifu.Simba ni Mke wa kudumu wa Yanga,sababu ndio anaongoza kufungwa na Yanga matches nyingi na goli nyingi kuliko timu yoyote Duniani.
Chukueni kombe, acheni story zenu zisizo na maana.Simba bado ni unbeaten wa ligi wengine wote wameshapigwa ikiwemo Uto
Naunga mkono hoja 👍👏👏👏👏Kuna tatizo lako akili ya SAIDO
Sasa kwanini mnamlaumu Ally Salimu na kipa wa Bilioni Tatu yupo benchi?Akikaa benchi kuna tatizo gani kwanini Yanga mpate uchungu ni kiasi gani mlichangia anaposajiliwa?
Na Diara alipopigwa mbili na hawa walima mpunga utasema sio kipa mzuri?Huyo dogo ukipa hauwezi na hatawahi kuwa competent kwenye hiyo nafasi, sio kipaji chake.
Sitamani kumuona kwenye derby ila najua atacheza, kwakua wameshamsoma basi zitaokotwa nyingi sana wavuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Aliekua anang'ang'ania kiatu kiko wap
Umri haudanganyi.Kuna tatizo lako akili ya SAIDO
🤣🤣🤣🤣Sasa kwanini mnamlaumu Ally Salimu na kipa wa Bilioni Tatu yupo benchi?
KabisaUmri haudanganyi.
Kwani me nimesema imeisha mkuu?Mechi bado haijaisha.