Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Ihefu kiboko ya wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukuta wa mabua no clean sheet,,Kila mechi unaruhusu goli,,eti ukuta wa yeriko🤣🤣🤣Wenye timu yao siwaoni humu.
Uliona goli alilofungwa na singida, uliangalia mechi ya Al ahly, magoli yote yanafana anatemea ndani ya box badala ya kutembea nje ya box.Kipa kakosea nini? Huyu dogo mnamuandama Bure. Yaani mtu kapokea mpira katuliza, kapiga bonge ya mshuti yeye kasevu. Mibeki ipo tu inatazama halafu mumlaumu kipa. Kadakeni nyie.
Yani vitu vya ajabu sana tuna wachezaji wengi wavivu lazima tukubaliHii Simba bhana, inapigwa shambulizi moja tuu goli
Simba bado ni unbeaten wa ligi wengine wote wameshapigwa ikiwemo UtoUsikimbie hapa, tuwe pamoja mpaka mwisho wa show.
Ni kipa mzuri acha kumsimangaHuyu Ali sio kipa, bora Ayubu
Sevu hii atakuja kupoteza tarehe 5 sevu hiiSimba bado ni unbeaten wa ligi wengine wote wameshapigwa ikiwemo Uto
🤣🤣🤣🤣🤣Ni kipa mzuri acha kumsimanga
Huyo dogo ukipa hauwezi na hatawahi kuwa competent kwenye hiyo nafasi, sio kipaji chake.Uliona goli alilofungwa na singida, ukiangalia mechi ya Al ahly, magoli yote yanafana anstemea ndani ya box badala ya kutembea nje ya box.
WakongweIhefu kiboko ya wakubwa
Sio wavivu tuu ni mizigoYani vitu vya ajabu sana tuna wachezaji wengi wavivu lazima tukubali
Huoni alipokosea au unachangamsha genge humu?Kipa kakosea nini? Huyu dogo mnamuandama Bure. Yaani mtu kapokea mpira katuliza, kapiga bonge ya mshuti yeye kasevu. Mibeki ipo tu inatazama halafu mumlaumu kipa. Kadakeni nyie.
Wakipigwa goli nyingi ndio watapata akiliHuyo dogo ukipa hauwezi na hatawahi kuwa competent kwenye hiyo nafasi, sio kipaji chake.
Sitamani kumuona kwenye derby ila najua atacheza, kwakua wameshamsoma basi zitaokotwa nyingi sana wavuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wewe kakosea nini, goli linafungwa wakati kuna mabeki watano wa Simba na washambuliaji wawili. Halafu eti kipa alaumiwe.Huoni alipokosea au unachangamsha genge humu?