Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtajua menyewe
Shikilieni hapo hapo vijana.Simba 1-1 Ihefu
Huyu kipa mechi ya tatu mfululizo anafungwa magoli yanayofanana angekuwa mwarabu ungesikia wachambuzi wanapiga kelele Ila benchi la ufundi Lina matatizo makubwa.Simba hatuna kipa hapo hivi manula si tuliambiwa amepona hii ni aibu hii kila mechi tunaruhusu goli kweli?
Kipa wa Bilioni Tatu leo hachezi? Yaani unamsajili kipa mgeni halafu anasugua benchi.
Mji bila wazee ni vuruguUsishangae ROBERTNO akamuingiza BOKO
Endeleeni kuwakosa kosa hivyo hivyo.Tunawakosa kosa sana
Ni kweli.. AYOUB angesemwa sana...Huyu kipa mechi ya tatu mfululizo anafungwa magoli yanayofanana angekuwa mwarabu ungesikia wachambuzi wanapiga kelele Ila benchi la ufundi Lina matatizo makubwa.
Bado hamjasemaHuyu kipa mechi ya tatu mfululizo anafungwa magoli yanayofanana angekuwa mwarabu ungesikia wachambuzi wanapiga kelele Ila benchi la ufundi Lina matatizo makubwa.
Hao ni mbumbumbu, mkuu.Kipa wa Bilioni Tatu leo hachezi? Yaani unamsajili kipa mgeni halafu anasugua benchi.
Angefenyeje pale wakati yeye kacheza Mpira mabeki wakashindwa kuuokoa kutoka kwa aduiSimba hatuna kipa hapo hivi manula si tuliambiwa amepona hii ni aibu hii kila mechi tunaruhusu goli kweli?
siyo mistake ni maokotoNilijua hizi mistake za Ihefu kuanzishiana mpira hapo kwa hapo zitawagarimu sana
WazeeWachezaji ni kama wamechokaa..
Saido na chama wanapoteza pass
goli la tigopesaSimba leo mnanifurahisha sana Mmemchapa mapema Sana mbabe wa mtu (AkA mungu wa Yanga)
Hahaaa Leo utapigwaMaombi yako Gamondi kayasikia jipe moyo mkuu, ila tambua kuwa Simba sio vibonde wa Ihefu bali Uto ndio vibonde nguli wa walima mpunga wa Mbarali.
Hii sio mechi ya ushindani kwa sababu tunajua lazma tushindeUzi umepoa laleki..😂
Sio kweliHahah me nimefurah nimepata pesa mapema over 1.5
Mapema nabishaHii game hao jamaa wanagawana point leo, anaebisha atulie tu.