DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Huamini au unataka kuona screenshot..Sio kweli
Nenda kwenye uzi wa Mikeka nimepost huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huamini au unataka kuona screenshot..Sio kweli
Unamaanisha ukuta wa umeme upiga shot, sio?Angefenyeje pale wakati yeye kacheza Mpira mabeki wakashindwa kuuokoa kutoka kwa adui
Uto leo mnashabikia Ihefu?Uzi umepoa laleki..😂
Mnamuombea baba watotoKila laheri Ihefu katika safari yenu ya kuongeza magoli mawili
Angalieni musishinde na njaa.Hii sio mechi ya ushindani kwa sababu tunajua lazma tushinde
Sawa milionea mpya weekend hiiHuamini au unataka kuona screenshot..
Nenda kwenye uzi wa Mikeka nimepost huko
Mtajibu ikifika tar 5Kocha Hafanyi Rotation ya Kikosi, Hivi si Wiki Ijayo tuu tuna Derby?
Tuwe pamoja mpaka mwisho wa show.Mapema nabisha
Nani atampa nafasi ya kuyapiga?Sipati picha yale mashuti ya AZIZ KI na huyu kipa
Hayo ni maombi ya Uto, usihofu yatajibiwaHii game hao jamaa wanagawana point leo, anaebisha atulie tu.
Tuko na wababe wenuMtajibu ikifika tar 5
Watajaa tuEndeleeni kuwakosa kosa hivyo hivyo.
Kipa kakosea nini? Huyu dogo mnamuandama Bure. Yaani mtu kapokea mpira katuliza, kapiga bonge ya mshuti yeye kasevu. Mibeki ipo tu inatazama halafu mumlaumu kipa. Kadakeni nyie.Huyu kipa mechi ya tatu mfululizo anafungwa magoli yanayofanana angekuwa mwarabu ungesikia wachambuzi wanapiga kelele Ila benchi la ufundi Lina matatizo makubwa.
Wanasubiri muamala usome kwanzaWenye timu yao siwaoni humu.
Usikimbie hapa, tuwe pamoja mpaka mwisho wa show.Hayo ni maombi ya Uto, usihofu yatajibiwa
Malizana nao kwanza.Tuko na wababe wenu
Mm shabiki la Yanga ila amin mashabiki wengi wa mpira bongo hata cha ndimu hawajacheza...! Hua wanaamin mpira ni rahis saaaaaaaaana sema ikimpendeza Jah mfee tuKipa kakosea nini? Huyu dogo mnamuandama Bure. Yaani mtu kapokea mpira katuliza, kapiga bonge ya mshuti yeye kasevu. Mibeki ipo tu inatazama halafu mumlaumu kipa. Kadakeni nyie.