Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli kabisa mkewangu tumepata point tatu muhimuTushamaliza shughuli
Wewe acha kelele, badala ya kutegemea team nyingine ndogo zikusaidie kuifunga Simba Sc kwanini wewe usiifunge Simba Sc.?Yes uko sahihi utopolo Hatuna Raha sababu mechi za Simba zote marefa wanaziharibu wanaibeba Simba mpaka inatia kichefuchefu!! Mechi ya Singida Jamaa walifunga goli halali refa na kibendera wakalikaa Ile mechi Simba ilitakiwa kupasuka!! Singapore Big Stars wasikubali kukaa kimya walipokwa ushindi wao!!
Yule kolo Mr Karai hafai kuongoza TFF analazimisha Simba mbovu kushinda Kwa nguvu Kila mechi kupitia marefa wa mchongo!
Kwasasa kiwango cha Simba ni sawa na timu zingine ndogo za ligi , timu ikikomaa inashinda japo marefa hawakubali!
Nawaasa Marefa wasikubali kutumika vibaya Maana uchezeshaji mbovu wanaofanya kuibeba Simba ikicheza unawanyima nafasi ya kuchezesha ligi za CAF na Fifa Maana Africa nzima inatazama uchezeshaji wao wa hovyo!
Leo Tena Simba wanabebwa tu
Ntibanzonkiza hasa .....Wachezaji wawe watulivu kama Che Malone, Ngoma. Tungewapiga nyingi sana hawa nyati
Mtupangie tarehe 5Tumecheza vibaya sana. Huyu Miqueson ajiangalie, anakimbiakimbia tu.
Ihefu ni mbabe wa YangaYaani kuongea aongee Mwamedi halafu wewe mbumbumbu uje ututafsirie?
Zimeisha sasaZikiisha dk 90 ndio utajua ni baba watoto au ni baba mkwe😁😁
Sawa mkewangu asante kwa upendo wakoUtopolo tumewalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]View attachment 2795953
Msimamo na mechi mkononi😆😆😆😆Weka msimamo
Kabisaa tunanyandua utopwinyosoImeisha hii.
Tukutane tena Tarehe 5.
Tunaua Uto
Ihefu ni mbabe wa Yanga
😁😁😁😁
Saidoo anatakiwa kutokea benchi huko.ROBERTINO anahitaji kutafuta mbadala wa SAIDO..
Huu ndo ufaza sasa nausema kila sikuSimba imeshinda lakini kuna mambo yanafanywa na wachezaji uwanjani ambayo yatakuja kusemwa pale ambapo timu imepoteza.
Timu ikipata bao tu la uongozi ina relax mizaha inazidi kila mchezaji anaona ni muda sasa wa kuanza kuonesha ujuzi wake kwenye kuchezea mpira.
Timu ikiingoza bao moja, wachezaji hawajitumi kabisa kutafuta mabao mengine zaidi ili kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi.
Matokeo yake unaona mpinzani akisawazisha wachezaji wote wanakuwa out of focus..... Wanavurugika wanakuwa na temper wanabaki kucheza rafu ambazo zinazidi kuwaweka matatani kuadhibiwa na Refa.
All in all tumeshinda