Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaa.Kidogo tupate penalty [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa.Kidogo tupate penalty [emoji1787]
Usiwe na wasiwasi; penalty yetu inakujaBila apenalt hapa hatutoboi
Tulia mbumbumbu weweOffside ya nyoko!
Wachezaji wana mambo mengi, yaani wanacheza upuuzi tuCamara ongea na mabeki wanaleta usenge now ,tutafungwa sasa hivi
Leo makosa ni mengi sana aisee Azam wenyewe waoga waoga tuBila penalty hatutoboi duh
Huyo ni twiga,yuko slowNgoma anachelewa kufanya link kwa haraka
Naunga mguu hoja mkuuApo ateba ajidondoshe kwenye box
Bila hivyo HAMTOBOI
Usidanganyike na zile 5 za Asante jiesiemuSimba anafanya makosa saana, akikutana na timu ambayo inatumia makosa vizuri basi atapigwa nyingi sana, yaani wanaacha space then kurecover zile space hawawezi, sema Azam hawana timu lakini wanaifunga simba vizuri tu, yaani yanga naona akimpiga simba nyingi tu, kwasababu ya makosa ambayo wanafanya simba, wanacheza slowly saana
Wana fatikiiHalafu tunacheza sana Highline leo watu kama wanakauvivu flani hivi
Yah ni kweliCamara nae anatakiwa kuongea amekua bubu sana