Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Yes yuko vizuri sanaMutale leo kabadilika
Sometimes kumbe wakisemwa wanabadirika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes yuko vizuri sanaMutale leo kabadilika
Clear Goal kabisa, uzembe wa kipa.La Leo sio offside?😂
Nanyi ni manung'uniko FC kila mara kulalamika dhidi ya GSM.Malalamiko fc wajaiandae kabisa. Nipo hapa kuandikisha rejea zao wazipeleke fifa 😀😀
Team zote ni matawi ya Simba kaka. Majina tu ndio tofauti.Hivi simba ni tawi la kosto ama kosto ndio tawi la simba ?
SimbaUpdates mbona hatuoni nani kafunga?
ItengenezeniSimba wameanza kuharibu ligi.
Mwenye bango la gsm hapo ndo tawi la YangaHivi simba ni tawi la kosto ama kosto ndio tawi la simba ?
Sure mkuu,ujio wa Mpanzu umemfanya kua na akili,,,ila nimependa msimu huu mwalimu ana machaguo mengi pale 6.Leo kawaka
Tena wanafadhiliwa na kampuni moja ya gsmLeo ni Match ya
Mathayo na Mathew
Bakari na Beka
Mohamed na Mwamedi
pipa na mfuniko
Sioni Coastal Union akimkazia Simba kwa sababu ipo wazi Coastal ni tawi la Simba
Mechi kumi za mwisho Simba wameshinda 8, draw 2.. Coastal union hawajashinda
Kivipi?Refa awe makini
Anaendelea Kolo kolo
Bao safiBao la pili
Ateba anatupia penalty
Leo ana kasi,mali mguuni,ana turn vizuri na pasi rula na katulia hana ubinafsiYes yuko vizuri sana
Sometimes kumbe wakisemwa wanabadirika
Oh! Siyo refa tena?Kipa wa coastal kala bahasha Nene😃
Pamoja na stamp na barua yake ndani...Sawa, tunashukuru tumeona goli la bahasha hapa.