ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 496
- 570
Coast anadhaminiwa na GSM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimetizama replay sijaona ukakasi wowote?Maajabu kipa wa coastal kumtengea mfungaji mpira.
Goli ka Shabalala lina ukakasi
Sio ukakasi TU Lina uchachu piaMaajabu kipa wa coastal kumtengea mfungaji mpira.
Goli ka Shabalala lina ukakasi
Umekosea thread.Maaskini Makolo
Nipe sanduku la posta nikachukue hiyo bahashaBahasha kwakwenda mbeleee
Kutoka juu wapi?dah! Nshasahau wawili tu huko.Maelekezo kutoka juu
Hakikisha unanawa mpira kwenye 18 tupate penati
MimbaCOASTAL UNION wameahidi kabisa watazuga tu uwanjani lakini wameshapokea pesa ya SIMBA SC. na wataenda kuwaachia Point 3
Mo kashamaliza mchezo mezani
Na mda mrefu wataandamana mpaka ikulu kupeleka malalamiko yao, maana akili za UTOPOLO anazo manara.Mbona malalamiko yameanza mapema sana, nilitegemea Novemba au mbele mbele kule.
Na hela ya GSM wamekula, ubaya ubwela 🤣🤣COASTAL UNION wameahidi kabisa watazuga tu uwanjani lakini wameshapokea pesa ya SIMBA SC. na wataenda kuwaachia Point 3
Mo kashamaliza mchezo mezani
Acheni kuharibu mpira kwa kutoa rushwa kabla ya gameMimba
Na mda mrefu wataandamana mpaka ikulu kupeleka malalamiko yao, maana akili za UTOPOLO anazo manara.
Leo hatokei pembeni kabisa huwenda ndio sababu ameonekana boraMutale leo anacheza 10 au
goli la kuombea mkopo kabisaBonge la goli coastal wanapata na kufuta clean shit ya camara
Clean sheetBonge la goli coastal wanapata na kufuta clean shit ya camara
Lile goli hakuna kipa anafuata mzee mpe heko mfungaji acha unaziHuyu ndo kamara mnayempaisha 🤣🤣🤣
ShukranClean sheet