FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

FT || Simba Sc 2 Vs 2 CSKA Moscow

Mkuu eti inasemekana wa Putin walitaka kuhakikisha vita za silaha za moto kuja kwenye mpira wa mguu. Walitaka kuhakikisha watu wanapigwa wiki, ila muwekezaji (Mo) akawapoza hasira na kuwaambia wawe waungwana wataamsha vita vilivyolala kwa wana msimbazi na kwa bahati mbaya leo ndio dirisha linafungwa. Nongwa zitakuwa nyingi hivyo tusaidiane kufunika kombe.
Mkuu we umesikia vibaya
 
Russia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipaji
Yanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?😳😳😳 Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.🙏 Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.
 
Yanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?😳😳😳 Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.🙏 Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.
Huyo Jamaa ni empty set
 
Yanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?[emoji15][emoji15][emoji15] Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.[emoji120] Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.
Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio

Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k

Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu
 
Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio

Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k

Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu
Well, ni watu gani? 😳
 
Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio

Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k

Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu
Sasa wapo kundi gani?
 
Sasa wapo kundi gani?
Source: 1

Source: 2
IMG_20230115_222410.jpg
IMG_20230115_222500.jpg
Screenshot_2023-01-15-22-27-29-971_org.mozilla.firefox.jpg
IMG_20230115_222819.jpg
 
Back
Top Bottom