Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Umeona matokeo ya FT?Wapigwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona matokeo ya FT?Wapigwe tu
Russia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipaji
Baada ya pale waliipiga Yanga 5-0Walishapigwa kama mbwa na sevilla walijenga nini?
Umeona matokeo ya FT?Wapigwe tu
Ulitaka ucheze wewe ?
Sasa ile timu inaburuza mkia ligi ya Dubai imewapiga Kwa kidude, hawa waliokwenda vacation Dubai mmetoka mbili mbili hulioni tatizo hapo?Umeona matokeo ya FT?
Tatizo la mashabiki wa siku hizi wa Simba wanaichukulia timu kama timu zao za kwenye fantasy league.Mshamba tuu huyo,ni mtu mkuu sana ila ni shabiki maandazi sana
Mkuu we umesikia vibayaMkuu eti inasemekana wa Putin walitaka kuhakikisha vita za silaha za moto kuja kwenye mpira wa mguu. Walitaka kuhakikisha watu wanapigwa wiki, ila muwekezaji (Mo) akawapoza hasira na kuwaambia wawe waungwana wataamsha vita vilivyolala kwa wana msimbazi na kwa bahati mbaya leo ndio dirisha linafungwa. Nongwa zitakuwa nyingi hivyo tusaidiane kufunika kombe.
Yanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?😳😳😳 Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.🙏 Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.Russia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipaji
Huyo Jamaa ni empty setYanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?😳😳😳 Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.🙏 Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.
Hapa kuna watu wenye nadharia mbiliYanga mwenzangu. Hujui kuwa Russia ni wazungu?[emoji15][emoji15][emoji15] Hapa umenishtua sana. Inabidi tuwe wakati flani tunaulizana elimu humu ndani. Usiwape kitu cha kututania hawa jamaa.....please nakuomba.[emoji120] Hujui kama Russia ni wazungu? Daaahh.... Sisi Yanga kweli tuna watu.
Amenisikitisha sana. Hivi JF wanaruhusu kila mtu awe member?Huyo Jamaa ni empty set
Well, ni watu gani? 😳Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio
Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k
Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu
Vilaza wapo wengi Sana.Amenisikitisha sana. Hivi JF wanaruhusu kila mtu awe member?
Kumbe....Kweli Ruge alisema ogopa Mungu na teknolojia, haya ndio Simba hawakutaka wayajuwe Watanzania.
Tayari 2 bila.
Ukapimwe akili wewe, kwani wewe unavyoelewa wazungu nini?Russia ni wazungu [emoji23][emoji23]kweli mbumbumbu ni kipaji
Sasa wapo kundi gani?Hapa kuna watu wenye nadharia mbili
1)kuna watu wanaohisi kuwa watu wote wanaotoka bara la ulaya watu wanadhani ni wazungu kitu ambacho sio
2) watu wote wenye ngozi nyeupe watu hudhani ni wazungu kitu ambacho sio
Wazungu wanakuwa na sifa zao kama vile macho, nywele, ngozi, n.k
Ila navyojua mimi warusi japo wanatokea ulaya lakini sio wazungu
Manara Alisema wenye akili niSource: 1
![]()
Source: 2
View attachment 2482715View attachment 2482716View attachment 2482717View attachment 2482718![]()
Russians - Wikipedia
en.m.wikipedia.org