Mmeumia sana majirani zetu.Mods ondoeni hiyo logo ya live game ishaisha hii
Shida iko wapi bossMods ondoeni hiyo logo ya live game ishaisha hii
Nikiona hiyo live na game imeisha nahisi kama mmewapa bahasha modsShida iko wapi boss
Hukuona matokeo ya Yanga na JKT mtani?Mmeumia sana majirani zetu.
Sisi kumkanda Namungo.
Bado JKT next Tuesday, nyie si mlishindwa kuwafunga wakiwa pungufu?
Mtaujua uwezo wetu wa asili.
Sio nyie hadi msaidiwe na kina Kayoko
Tutawaona mnaweza ambulia drawMlishinda goli mbili kwa tabu sana.
Leta ushahidi wa rekodiNgumu sana.
Sisi ni bora kuliko nyie jombaa
Ratiba ya Yanga ni ngumu.Tutawaona mnaweza ambulia draw
Eti SBS ni ngumu kwa Deportivo la Utopolo. Mnapenda kudhani watu wote hawajitambui.Ratiba ya Yanga ni ngumu.
26/10 Vs Coastal Union
30/10 Vs Singida Black Stars
02/11 Vs Azam.
Cheki Makolo
Leo Vs Namungo
29/10 Vs JKT Tanzania
01/11 Vs Mashujaa.
Hii ratiba sio rafiki kwa Yanga.
Makolo wanabebwa.. bahati nzuri mashindano ya CAF yatatenganisha maji na mafutaRatiba ya Yanga ni ngumu.
26/10 Vs Coastal Union
30/10 Vs Singida Black Stars
02/11 Vs Azam.
Cheki Makolo
Leo Vs Namungo
29/10 Vs JKT Tanzania
01/11 Vs Mashujaa.
Hii ratiba sio rafiki kwa Yanga.
😳 Umesoma ubao nani anaongoza ligi?Eti SBS ni ngumu kwa Deportivo la Utopolo. Mnapenda kudhani watu wote hawajitambui.
Halafu mbona mnapenda kulialia. Kwa hiyo ulitaka upangiwe na nani?
Sahihi.Makolo wanabebwa.. bahati nzuri mashindano ya CAF yatatenganisha maji na mafuta
Leta ushahidi sheikhMuulize Ramadhani Kayoko,
Sasa ugumu uko wapi wakati Singida ni tawi lenu halisi na inajulikanaRatiba ya Yanga ni ngumu.
26/10 Vs Coastal Union
30/10 Vs Singida Black Stars
02/11 Vs Azam.
Cheki Makolo
Leo Vs Namungo
29/10 Vs JKT Tanzania
01/11 Vs Mashujaa.
Hii ratiba sio rafiki kwa Yanga.
Kwa hiyo ina maana gani? Kwamba ndiyo inaondoa ukweli kuwa hilo ni koloni la Deportivo la Utopolo?😳 Umesoma ubao nani anaongoza ligi?
Na amekuachaje wewe Kolo?
Siyo wamekua gushy tu wamekufanya vibaya mno.Namungo msiniangushe