Hivi game ya watani atakua nje ana kadi right ?Leo huyu wakili msomi hata sijui kala nn maana wa motooo hatari ila tu awe mtulivu akifika golini
Hata kucheza kwenye mvua kuna ufundi wakeMechi ya leo haina ufundi...
Ndio alivobeti leo hajiUngewekeza hiyo utabiri wako sasahivi ungeshapata mzigo
Mpira ndivyo ulivyo anaweza kurudi wa moto mpaka ukatamani ni vizuri aliuumwa.Sakho piaKama Mugalu hajapona hadi leo,
Dirisha dogo aachwe tu
Atafute striker mwingine
Naskia wamekoswa bao la 4 huko?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].nasikia wamekata rufaa mahaka ya uhalifu wa kibinadamu huko uholanzi. UtooooooHabari za hivi punde
Utopolo waonekana mitaa ya CAS