FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

FT: Simba SC 3 - 0 Red Arrows kombe la shirikisho barani Afrika

MPIRA UMEKWISHA

1638111829506.png
 
Kwa muda mrefu sijaifuatilia timu zetu za Bongo. Basi Leo nimeshuhudia huu mtanange wa Simba na Red Arrows. Miongoni mwa wachezaji walionivutia ni pamoja na huyu Benard Morrison. Leo ndio nimefahamu ni kwanini anasifika kama mzee wa kukera. Ndio maana Yanga wamemfuatilia kwa nguvu nyingi sana. Angekuwa mchezaji mbovu sidhani kama wangemhangaikia sana.
 
Back
Top Bottom