[emoji23][emoji23][emoji23]Mapema sanaWazee, Mangungu atoke asitoke?
😂😂😂😂😂yaani leo nna ugwadu
asajiliwe mabululuKapombe muda kuchezea simba umefikia kikomo.
akiipindua lazima imwangukie na hainuki tenaNgoma bado mbichi mnoo.
Muda bado upo, Simba tutapindua meza.
Moja ya mbumbumbu wa kiwango cha SGRHizi takataka zilizo omba caf zipangiwe matimu mabovu ili wapite kirahisi wanatuchukia..ndio maana timu yao inawakilishwa na rangi ya mavi (njano ni mavi ya binadamu na kijani mavi ya ndege)
Wana roho mbaya,wachawi na akili zao ni za kimavi mavi na kipuuzi