ROOM 47
JF-Expert Member
- May 23, 2022
- 2,301
- 7,460
Ila punguza nyege mkuu Simba now ipo vizur japo Yanga wapo vizur Zaid......Maombi yenu yamesaidia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila punguza nyege mkuu Simba now ipo vizur japo Yanga wapo vizur Zaid......Maombi yenu yamesaidia mkuu
Unajichekesha tuu mbaba mzima aibuuu...Simba hii Ya wafungaji kina kibu[emoji23][emoji23]
Usitupangie...ww kama hilo kombe ulilala na shanga zao aka medali na kukenua mwezi mzima haituhusu...Japo wameshinda bila cleansheet lazima tuwapongeze ndugu zetu wanasimba Kwa kuubonda mpira pale Kwa mkapa lazima tuwe wazalendo linapokuja suala la kimataifa
Pongezi kubwa ziende Kwao ingawa naona safari yao itaishia hapa makundi[emoji23][emoji23]
Lakini tusisahau ...kipimo cha Simba kwenye kombe la wamama (shirikisho) ni lazima ifike final kama Yanga ,....au ibebe ubingwa
NB: maisha bila Jf .... unaweza ona siku ni kama mwezi[emoji23][emoji23]View attachment 3105069
[emoji32][emoji32]Usitupangie...ww kama hilo kombe ulilala na shanga zao aka medali na kukenua mwezi mzima haituhusu...
Kibu aliyewakanda au umemsahauSimba hii Ya wafungaji kina kibu[emoji23][emoji23]