FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

Unaizidi nini cha maana hiyo Ahly Tripol hata nikubaliane na wewe kuwa ni ndogo SANA compared to Yanga Sc? Maana ni moja kati ya team kubwa huko Lybia kama ilivyo Yanga Sx hapa Tz, makombe ya ndani ya Ligi imechukua sana kama ilivyo kwa Yanga Sc hapa Tz, likija swala la kimataifa wakati Ahly Tripolo inaingia nusu fainali wewe ulikuwa na miaka 24 hujanusa hata makundi, Pesa imekuzidi mbali sana beyond maelezo.


umeizidi nini hata useme ni ndogo sana tena saaaana?

NJOO NA FACTS.

*Al ahly tripoli ubingwa wa ligi ×13
ubingwa super cup ×2
ubingwa Libyancup×7.
Jumla vikombe 22.
*Young African ubingwa ligi ×30
Jazilia vikombe vingine vya ndani.

Young African ya 13 kwa ubora Africa.
Al ahly tripoli hata top 20 haipo.

Aya nani mkubwa hapo kati ya Ahly Tripoli na Yanga!??
Si umetaka facts?
Hizo hapo.
 
*Al ahly tripoli ubingwa wa ligi ×13
ubingwa super cup ×2
ubingwa Libyancup×7.
Jumla vikombe 22.
*Young African ubingwa ligi ×30
Jazilia vikombe vingine vya ndani.

Young African ya 13 kwa ubora Africa.
Al ahly tripoli hata top 20 haipo.

Aya nani mkubwa hapo kati ya Ahly Tripoli na Yanga!??
Si umetaka facts?
Hizo hapo.
Kumbe rank za CAF mnaziamini. SASA Simba ni ya 6😁
 
*Al ahly tripoli ubingwa wa ligi ×13
ubingwa super cup ×2
ubingwa Libyancup×7.
Jumla vikombe 22.
*Young African ubingwa ligi ×30
Jazilia vikombe vingine vya ndani.

Young African ya 13 kwa ubora Africa.
Al ahly tripoli hata top 20 haipo.

Aya nani mkubwa hapo kati ya Ahly Tripoli na Yanga!??
Si umetaka facts?
Hizo hapo.
Mara 30 hiyo umeitoa wapi mbona mlipoulizwa na Zakazakazi mlishindwa kuelezea?

Mnahesabuje mpaka mnafikia hizo namba?

Msipende kuwasilikiza wazee sio kila stori wanazowasimulia ni za kweli zingine ni uzushi tu.
 
*Al ahly tripoli ubingwa wa ligi ×13
ubingwa super cup ×2
ubingwa Libyancup×7.
Jumla vikombe 22.
*Young African ubingwa ligi ×30
Jazilia vikombe vingine vya ndani.

Young African ya 13 kwa ubora Africa.
Al ahly tripoli hata top 20 haipo.

Aya nani mkubwa hapo kati ya Ahly Tripoli na Yanga!??
Si umetaka facts?
Hizo hapo.
Cbe ya ngapi!?
 
IMG-20240922-WA0015.jpg
 
Kombe la mbuzi ni uchafu hata kulitaja ni aibu🚮🚮
Kwasababu zilikuwa zinashiriki timu za hovyo na ndio hapo hadhi yake ikapotea.

Katika historia ya hii michuano tangu kuanzishwa kwake hakujawahi kutokea timu zinazoshuka daraja kwenye ligi yao kufika level za nusu fainali confederation.

Ni kwa mara ya kwanza CAF wakasema ni kombe ambalo lina hasara tu, hiyo ni baada ya kuona aina ya washiriki walioko.

Na ndio maana kwa mara ya kwanza CAF wakafikiria kulifuta.

Ni kwa mara ya kwanza katika historia ya michuano hii kupata mshindi wa kombe hili anayekuwa anapambania kutoshuka daraja kwenye ligi yao.

Simba tumekuja kuondoa hizo nuksi zilizoachwa na hizo Clubs.

Na kubadili mtizamo hasi kwa viongozi wa CAF waliokuwa wamekata tamaa kabisa na haya mashindano kwa kurudisha hadhi halisi ya michuano.

Simba tumekuja kutoa ladha ya mechi yenye kiwamgo cha fainali katika hatua za kutafuta makundi.
 
Kwasababu zilikuwa zinashiriki timu za hovyo na ndio hapo hadhi yake ikapotea.

Katika historia ya hii michuano tangu kuanzishwa kwake hakujawahi kutokea timu zinazoshuka daraja kwenye ligi yao kufika level za nusu fainali confederation.

Ni kwa mara ya kwanza CAF wakasema ni kombe ambalo lina hasara tu, hiyo ni baada ya kuona aina ya washiriki walioko.

Na ndio maana kwa mara ya kwanza CAF wakafikiria kulifuta.

Ni kwa mara ya kwanza katika historia ya michuano hii kupata mshindi wa kombe hili anayekuwa anapambania kutoshuka daraja kwenye ligi yao.

Simba tumekuja kuondoa hizo nuksi zilizoachwa na hizo Clubs.

Na kubadili mtizamo hasi kwa viongozi wa CAF waliokuwa wamekata tamaa kabisa na haya mashindano kwa kurudisha hadhi halisi ya michuano.

Simba tumekuja kutoa ladha ya mechi yenye kiwamgo cha fainali katika hatua za kutafuta makundi.
Unawezaje kutaja mbele ya watu wazima eti na mimi nashiriki shirikisho.... ni aibu tupu .

Sifa ni ile ile haibadiliki ni Kombe la watu waliofeli "Futuhi Cup"
 
Mara 30 hiyo umeitoa wapi mbona mlipoulizwa na Zakazakazi mlishindwa kuelezea?

Mnahesabuje mpaka mnafikia hizo namba?

Msipende kuwasilikiza wazee sio kila stori wanazowasimulia ni za kweli zingine ni uzushi tu.
We jamaa huwa unakunywa matap tap ama nini!??
Aya lete takwimu zako Yanga bingwa mara ngapi.
Yanga bingwa mara 30 kataa kubali.
Kama una uthibitisho pinga.
 
Back
Top Bottom