Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hasadi wewe mzima ulitimia ukafa changuruweHizi takataka zilizo omba caf zipangiwe matimu mabovu ili wapite kirahisi wanatuchukia..ndio maana timu yao inawakilishwa na rangi ya mavi (njano ni mavi ya binadamu na kijani mavi ya ndege)
Wana roho mbaya,wachawi na akili zao ni za kimavi mavi na kipuuzi
Mabululu ✔️Ukuta wa Yerico unaujua?
Unafanya nini hukoNiko nyuma ya mabululu
Bora wewe.Hakuna cha kutakiana heri wala nini, kila mmoja ashinde mechi zake na kwa mbinu zake.
Subiri mchezo wa TFF wa Yanga dhidi ya Simba. Siku hiyo tutajua "matimu mabovu."Hizi takataka zilizo omba caf zipangiwe matimu mabovu ili wapite kirahisi wanatuchukia..ndio maana timu yao inawakilishwa na rangi ya mavi (njano ni mavi ya binadamu na kijani mavi ya ndege)
Wana roho mbaya,wachawi na akili zao ni za kimavi mavi na kipuuzi
Uliangushwa na matarumbeta.Ukuta wa Yerico unaujua?
Kama janaMi huwa nazipenda mechi za namna hii, yaani ukimfunga mtu kuna kundi kubwa sana la watu linaumia wiki nzima.
Ova
Pumba tupuNapendekeza wachezaji Hawa waanze kesho.
Samahani kwa usumbufu.
1. Kamala. Kaseja stand by
2. Kapombe. Kijiri stand by
3. Zimbwe. Nouma stand by
4. Che Malone.
5. Hamza. Chamou stand by.
6. Mavambo
7. Ahoa. Okejepha stand by
8. Kagoma. Mzamiru stand by
9. Atteba
10. Mukwala. Awesu stand by
11. Mutale. Kibu stand by
Nawasilisha Jukwaani.
Je tutachomoka
Leo....! 🤔
Kushakucha