Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Mi najua la 4Tatuuuu
Tukamuwashie moto labani ogHahahaa
Hakika mkuu yeye mwenyewe kaomba ombi lake liheshimiwe na uongozi wa jfYeah!...Ile ahadi itekelezwe...
Khaaa mbona swali la kipuuzi hili!?Kabla ya kuibeza Tripol, nimekuuliza hapo Yanga Sc (team unayodhani ni kubwa sana kuliko Tripol), mshara wenu mkubwa kwa mchezaji ni bei gani?
nimeacha kuona baada ya maamuzi na udhaifu wa refa mkuuPasi ngapi mkuu?
Labda wewe peke yako, ila huku goli la 3 linasomeka bado π π πMakolo hawaamini goal la 3 limeenda wapi π
Gola zuri. What a counter attack. Kilichobaki ni kuanza kuwatupia makopo ya maji kama walivyotufanyia kule kwao.Balua[emoji91][emoji91]