FT: Simba SC 3-1 Singida Big Stars | Estadio Benjamin Mkapa | 03/02/2023

2_1
 
Tujiandae kisaikolojia Makolo wenzangu,kipigo leo hakikwepeki, tulikuwa tunashadadia mkataba wa Yanga tukasahau game yetu
Mtu akishadadia mkataba kuna shida Gani kwani Wanasimba ndo walisaini huo mkataba. Muwe mnaajiri watu wenye upeo wa kutosha.
 
Kipigo atakachoambulia kolo leo kitazika ndoto yake ya kuwa bingwa wa nbc premier league mwaka huu. Mbaya zaidi, hapo kesho, 4/2/2023 robertinho anatupiwa virago.
 
Kwasababu striker wako Kibu hajaanza?
Nimeuliza kwasababu watu walimponda Chama, kuwa mzungu anapenda mpira wa kasi na Chama hafai kwenye mfumo wa mzungu. Sasa ndio najiuliza hiki kikosi kaachiwa Mgunda apange au mzungu kaishapata mfumo wa Chama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…