Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ukipigwa umeme na huku, utahamia kwa cognizant siyo!Wewe ndiyo uliyeulizwa Swali? Acha Kiherehere kama Mfuko wa Shati sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipigwa umeme na huku, utahamia kwa cognizant siyo!Wewe ndiyo uliyeulizwa Swali? Acha Kiherehere kama Mfuko wa Shati sawa?
Umeme ndiyo nini? Naona nawe ID yako imepigwa BAN. Kwanini mnapenda kuwa na ID's nyingi JF?Ukipigwa umeme na huku, utahamia kwa cognizant siyo!
2_1Majira ya Saa 1:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki,Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC watashuka dimbani katika dimba la Benjamin Mkapa kuwakaribisha wana alizeti Singida Big Stars.
Mechi inategemewa kuwa ngumu, maana katika mchezo wa kwanza pale Liti, Singida, timu hizo zilitoshana nguvu kwa sare ya 1-1.
Simba itashuka dimbani ikiwategemea wachezaji wake mahiri kama Chama, Saido, na wengineo huku Singida Big Stars ikiwategemea zaidi akina Bruno, Kazadi na mastaa wengneo.
Je, Simba ataweza kuzoa alama zote tatu? Au Singida ndio atakayeibuka kidedea? Tukutane saa 1:00 usiku kwa live updates...
Ubashiri wangu: Simba 2-1 Singida
Unahamisha magoli mdogo wangu G!!Umeme ndiyo nini? Naona nawe ID yako imepigwa BAN. Kwanini mnapenda kuwa na ID's nyingi JF?
Pole kwa Kupigwa BAN na ile ID yako Maarufu JF.Unahamisha magoli mdogo wangu G!!
Ya GENTAMYCINE siyo!!Pole kwa Kupigwa BAN na ile ID yako Maarufu JF.
Nasma utopoloEti huyu nae ni mchepu.ko wa mwanaume mwenye akili zake.
Dunduka 0-3 SBS
Mtu akishadadia mkataba kuna shida Gani kwani Wanasimba ndo walisaini huo mkataba. Muwe mnaajiri watu wenye upeo wa kutosha.Tujiandae kisaikolojia Makolo wenzangu,kipigo leo hakikwepeki, tulikuwa tunashadadia mkataba wa Yanga tukasahau game yetu
Mwanamme mzima unabana pua eti nimekaa pale. Haya mambo ya kikeSingida big [emoji93] 2-1Simba[emoji190]. Nimekaa paleeeee [emoji117][emoji117]🪑
Uto katika ubora wakoTujiandae kisaikolojia Makolo wenzangu,kipigo leo hakikwepeki, tulikuwa tunashadadia mkataba wa Yanga tukasahau game yetu
Nguvu MojaKikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Singida Big StarsView attachment 2505009
Msikimbie mechi ikiishaKila la kheri wanyiramba&wanyaturu mechi hii ni nyepesi kuliko ile ya azam mshindwe wenyewe kuwapakata.
Hiki kikosi kapanga Mgunda au kapanga Mbrazil?Kikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Singida Big StarsView attachment 2505009
Nilijua leo Chama anaweza asiwepo hata 1st elevenKikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Singida Big StarsView attachment 2505009
Kwasababu striker wako Kibu hajaanza?Hiki kikosi kapanga Mgunda au kapanga Mbrazil?
Nimefurahi sana kuona Outtara hata benchi hayupoKikosi cha Simba SC Kinachoanza dhidi ya Singida Big StarsView attachment 2505009
Kipigo atakachoambulia kolo leo kitazika ndoto yake ya kuwa bingwa wa nbc premier league mwaka huu. Mbaya zaidi, hapo kesho, 4/2/2023 robertinho anatupiwa virago.Majira ya Saa 1:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki,Mnyama mkubwa mwituni, Simba SC watashuka dimbani katika dimba la Benjamin Mkapa kuwakaribisha wana alizeti Singida Big Stars.
Mechi inategemewa kuwa ngumu, maana katika mchezo wa kwanza pale Liti, Singida, timu hizo zilitoshana nguvu kwa sare ya 1-1.
Simba itashuka dimbani ikiwategemea wachezaji wake mahiri kama Chama, Saido, na wengineo huku Singida Big Stars ikiwategemea zaidi akina Bruno, Kazadi na mastaa wengneo.
Je, Simba ataweza kuzoa alama zote tatu? Au Singida ndio atakayeibuka kidedea? Tukutane saa 1:00 usiku kwa live updates...
Ubashiri wangu: Simba 2-1 Singida
Nimeuliza kwasababu watu walimponda Chama, kuwa mzungu anapenda mpira wa kasi na Chama hafai kwenye mfumo wa mzungu. Sasa ndio najiuliza hiki kikosi kaachiwa Mgunda apange au mzungu kaishapata mfumo wa Chama?Kwasababu striker wako Kibu hajaanza?