Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Uko Sawa kabisa. Zimbwe anapenda Sana sifa binafsi lakini angeweza kuipa timu goli halafu angesifiwa bila kujali namna goli lilivyofungwa.Zimbwe kacheza hovyo dakika hii ya mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko Sawa kabisa. Zimbwe anapenda Sana sifa binafsi lakini angeweza kuipa timu goli halafu angesifiwa bila kujali namna goli lilivyofungwa.Zimbwe kacheza hovyo dakika hii ya mwisho
Hivi unaangalia mpira au unahadithiwa? Singida wanatembeza boli haswa, haya matokeo ya 2-1 hayasadifu kabisa kinachoendelea hapa uwanjaniWewe kweli ni bwaksi.
Naaam mpira ni mapumziko huku Simba wakiwa mbele ya bao mbili kwa moja dhidi ya Singida Big StarsBado mapumziko kufika
Asante mamaaWera weraaaaaaaaaa this is simbaaaa
Mwaka huu mtaita maji mmaaaa
Ongeza konyagi moja ndogo ili uwe bwaksiHivi unaangalia mpira au unahadithiwa? Singida wanatembeza boli haswa, haya matokeo ya 2-1 hayasadifu kabisa kinachoendelea hapa uwanjani
Aisee kwamba MK14 ana ya kula bata hapo jijini keshoDakika 25 za mwisho Singida kaikamata game ni kagere tu kakosa umakini kule mbele singida akirudi hivi second half uenda mnyama akadondosha point
Hili tatizo naliona sana mechi ya leo. Sifa binafsi na pasi zisizo na mashiko zinatunyima fursa ya kumaliza mchezo huu mapema. Zimbwe hakuwa na sababu ya kucheza alivyocheza.Uko Sawa kabisa. Zimbwe anapenda Sana sifa binafsi lakini angeweza kuipa timu goli halafu angesifiwa bila kujali namna goli lilivyofungwa.
Itakua ni bwaksi inaongea hapo 😆 😛 😛We nae[emoji23][emoji23] izo 4 mnazifungia wapi? Mkihurumiwa sana nyie ndio mtapigwa 4-2
Ila Bruno Gomez anapiga Free Kick mbaya sana.. Ijapo Manula anafungwa sana mipira hii ya Kutengwa.Simuamini sana Manula kwenye mipira iliyokufa.
Alisikika Utopolo akiwa kwenye dimbwiMechi bado ipo wazi kwa kila timu.., ubaya kwa Simba hawana tena kikosi nje!!!, Singida wamekosa umakini vinginevyo walipaswa kuwa na goli zaidi ya 2. Simba hawana uwezo wakuizuia singida isipate gori lingine na Kanouute asipobebwa na refa lazima achukue mwekundu wake.... Nje ya kubebwa Simba hawezi shinda hii mechi... See you after 90mins