Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ni utani wa jadi tu huyo atakoma we tulia 😂😂😁🤣😂Aisee! Sio sawa unavyofanya
Fake P mkanye huyu kirusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utani wa jadi tu huyo atakoma we tulia 😂😂😁🤣😂Aisee! Sio sawa unavyofanya
Fake P mkanye huyu kirusi
Kushiriki Club Bingwa ni itifaki wala hakusadifu ubora wako dhidi ya timu zingine kutoka nchi zingine ambazo hazishiriki.Fountain gate wanashiriki klabu bingwa?
Huwezi ugomviNajisikia kugombana na wewe
Akili ni nywele Cc ephen_Mm yanga damu ila Simba bingwa NBC na MFUNGAJI Bora NBC ni MUKWALA
TunzaUnaniruhusu nitunze hii risiti
Simba ni dude kubwa ..Lazima uwe na heshma unaporipoti matukio yakeAsante Sana Moderator Una update kwa wakati, tofauti na mechi za Yanga au Azam
Kati ya fountain gate na vitalo ipi timu imara?Kushiriki Club Bingwa ni itifaki wala hakusadifu ubora wako dhidi ya timu zingine kutoka nchi zingine ambazo hazishiriki.
Ligi ya Burundi ni dhaifu isiyoweza kufikia nusu ya ubora wa ligi ya Tanzania.
The same kuna timu zipo Misri huko ni kali ila hazijashiriki Club bingwa wala Shirikisho kwasababu zimemaliza nafasi ya 10 kwenye ligi yao.
Hizo timu haina maana zimezidiwa ubora na Coastal Union ambao wao wamepata hiyo karata ya kushiriki michuano ya shirikisho.
Mkuu kama ulisema Yanga hatovuka makundi basi ni kukubaliana na hoja zako tu 🤣😁😁😁😁😁😁😁🤣Kushiriki Club Bingwa ni itifaki wala hakusadifu ubora wako dhidi ya timu zingine kutoka nchi zingine ambazo hazishiriki.
Ligi ya Burundi ni dhaifu isiyoweza kufikia nusu ya ubora wa ligi ya Tanzania.
The same kuna timu zipo Misri huko ni kali ila hazijashiriki Club bingwa wala Shirikisho kwasababu zimemaliza nafasi ya 10 kwenye ligi yao.
Hizo timu haina maana zimezidiwa ubora na Coastal Union ambao wao wamepata hiyo karata ya kushiriki michuano ya shirikisho.
😁😁Goli letu lingine, hili kafunga Scars Mukwala
View attachment 3078954
Subiri sisi tukija kuanza kucheza na hizo timu uone mvua ya magoli itakayonyeshaI'm still wonder how Mechi ya NBC iwe na mvuto na yenye ushindani zaidi kuliko mechi ya Club Bingwa tena iliyopewa title ya ufunguzi??
tuko pamoja , nafatilia magoli 😆,Goli letu lingine, hili kafunga Scars Mukwala
View attachment 3078954
Nilikutetea kwenye ugomvi kwa id yangu nyingineUmejuaje